Mbeya City 1-1 Simba | Highlights | NBC Premier League 23/11/2022 |
|
Simba SC imekabwa koo na Mbeya City kwa kulazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya.
Simba wametangulia kwa goli la Mzamiru Yassin dakika ya 15 na Mbeya City kuchomoa dakika ya 79 kupitia kwa Tariq Seif. |