Magoli yote | Simba 3-0 Mbeya City | NBC Premier League 16/06/2022 |
|
Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Pape Osman Sakho amefunga magoli moja likiwa la penati huku goli la tatu likiwekwa nyavuni na Peter Banda. |