Highlights | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | NBCPL - 30/12/2022 |
|
Tazama mambo yalivyokuwa wakati Simba SC, ikishusha mkong'oto wa mabao 7-1 kwa Tanzania Prisons.
Wafungaji ni Saidi Ntibazonkiza mabao matatu John Bocco mabao matatu Jeremiah Juma bao moja |