WOLPER KAMUONGELEA MPENZI MPYA: "Ana hofu ya Mungu" |
|
Huu ni muendelezo wa EXCLUSIVE INTERVIEW na Mwigizaji Jackline Wolper ambae amekaa kwenye ON AIR WITH MILLARD AYO na kuongea ishu mbalimbali.
Kwenye hii video, Wolper ameongea kuhusu Mpenzi wake mpya ambae inaonekana mwenye umri mdogo kuliko yeye, KINACHOMUOGOPESHA........ kumkatalia Harmonize mtoto na mengine. |