Highlights | Simba 1-0 Yanga | ASFC Final 25/07/2021 |
|
Goli pekee la Taddeo Lwanga limeipa Simba ubingwa wa pili mfululizo kwenye wa michuano ya Azam Sports Federation Cup kwa kuwachapa watani wao wa jadi, Yanga bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliochezwa Julai 25, 2021 kwenye Uwanja wa lake Tanganyika, Kigoma.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz |