Tazama magoli yote Simba ilivyoichakaza Mbeya City 4-1 kwa Mkapa - VPL 22/06/2021 |
|
SIMBA VS MBEYA CITY 4-1: Timu ya Simba imeitandika Mbeya City magoli 4-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Simba yamefungwa na Rally Bwalya, Luis Miquissone, John Bocco na Clatous Chama wakati goli la kufutia machozi kwa Mbeya City likifungwa na Pastory Athanas. Tazama magoli yenyewe hapa. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz |